9 Kura ya kwanza ikamtokea Yusufu, kwa Asafu; ya pili Gedalia; yeye na nduguze na wanawe, kumi na wawili;
10 ya tatu Zakuri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
11 ya nne Seri, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
12 ya tano Nethania, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
13 ya sita Bukia, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
14 ya saba Asharela, wanawe na nduguze, kumi na wawili;
15 ya nane Yeshaya, wanawe na nduguze, kumi na wawili;