11 Ndipo Daudi akampa Sulemani mwanawe mfano wa ukumbi wa hekalu, na nyumba zake, na hazina zake, na orofa zake, na vyumba vyake vya ndani, na mahali pa kiti cha rehema;
Kusoma sura kamili 1 Nya. 28
Mtazamo 1 Nya. 28:11 katika mazingira