1 Wana wa Lawi; Gershoni, na Kohathi, na Merari.
2 Na wana wa Kohathi; Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.
3 Na wana wa Amramu; Haruni, na Musa, na Miriamu. Na wana wa Haruni; Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.
4 Eleazari akamzaa Finehasi; na Finehasi akamzaa Abishua;