2 Na wana wa Kohathi; Amramu, na Ishari, na Hebroni, na Uzieli.
3 Na wana wa Amramu; Haruni, na Musa, na Miriamu. Na wana wa Haruni; Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari.
4 Eleazari akamzaa Finehasi; na Finehasi akamzaa Abishua;
5 na Abishua akamzaa Buki; na Buki akamzaa Uzi;
6 na Uzi akamzaa Zerahia; na Zerahia akamzaa Merayothi,
7 na Merayothi akamzaa Amaria; na Amaria akamzaa Ahitubu;
8 na Ahitubu akamzaa Sadoki; na Sadoki akamzaa Ahimaasi;