16 na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria.
17 Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi;
18 na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali.
19 Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;
20 na Elienai, na Silethai, na Elieli;
21 na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.
22 Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;