19 Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi;
20 na Elienai, na Silethai, na Elieli;
21 na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.
22 Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;
23 na Abdoni, na Zikri, na Hanani;
24 na Hanania, na Elamu, na Anthothiya;
25 na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.