22 Na Ishpani, na Eberi, na Elieli;
23 na Abdoni, na Zikri, na Hanani;
24 na Hanania, na Elamu, na Anthothiya;
25 na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.
26 Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia;
27 na Yaareshia, na Eliya, na Zikri; walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.