25 na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki.
26 Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia;
27 na Yaareshia, na Eliya, na Zikri; walikuwa wana wa Yerohamu.
28 Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu.
29 Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka;
30 na mwanawe, mzaliwa wake wa kwanza, alikuwa Abdoni, na Suri, na Kishi, na Baali, na Nadabu;
31 na Gedori, na Ahio, na Zekaria,