1 Sam. 1:3 SUV

3 Na mtu huyo alikuwa akikwea kutoka mjini kwake mwaka kwa mwaka, ili kuabudu, na kumtolea BWANA wa majeshi dhabihu katika Shilo. Na wale wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi, makuhani wa BWANA, walikuwako huko.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 1

Mtazamo 1 Sam. 1:3 katika mazingira