1 Sam. 10:21 SUV

21 Kisha akaileta kabila ya Benyamini karibu, kwa jamaa zao; jamaa ya Wamatri ikatwaliwa. Akaileta jamaa ya Wamatri karibu, mtu baada ya mtu; kisha Sauli, mwana wa Kishi, akatwaliwa; lakini walipomtafuta hakuonekana.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 10

Mtazamo 1 Sam. 10:21 katika mazingira