1 Sam. 14:6 SUV

6 Basi, Yonathani akamwambia yule kijana aliyemchukulia silaha zake, Haya! Na twende tukawavukie ngomeni hao wasiotahiriwa; yamkini BWANA atatutendea kazi; kwa maana hakuna la kumzuia BWANA asiokoe, kwamba ni kwa wengi au kwamba ni kwa wachache.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 14

Mtazamo 1 Sam. 14:6 katika mazingira