30 Akasema, Nimekosa; lakini uniheshimu sasa, nakuomba, mbele ya wazee wa watu wangu, na mbele ya Israeli, rudi pamoja nami, nimwabudu BWANA, Mungu wako.
Kusoma sura kamili 1 Sam. 15
Mtazamo 1 Sam. 15:30 katika mazingira