1 Sam. 17:26 SUV

26 Daudi akaongea na watu waliosimama karibu, akisema, Je! Atafanyiwaje yeye atakayemwua Mfilisti huyo, na kuwaondolea Israeli aibu hii? Maana Mfilisti huyu asiyetahiriwa ni nani hata awatukane majeshi ya Mungu aliye hai?

Kusoma sura kamili 1 Sam. 17

Mtazamo 1 Sam. 17:26 katika mazingira