10 Sauli akajaribu kumpiga Daudi hata ukutani kwa mkuki wake, ila yeye akaponyoka kutoka mbele ya Sauli, nao huo mkuki akaupiga ukutani; naye Daudi akakimbia, akaokoka usiku ule.
Kusoma sura kamili 1 Sam. 19
Mtazamo 1 Sam. 19:10 katika mazingira