24 Akamwangukia miguuni pake, akasema, Juu yangu, bwana wangu, juu yangu mimi na uwe uovu; tafadhali mjakazi wako na anene masikioni mwako, nawe uyasikilize maneno ya mjakazi wako.
Kusoma sura kamili 1 Sam. 25
Mtazamo 1 Sam. 25:24 katika mazingira