1 Sam. 25:26 SUV

26 Basi sasa, bwana wangu, aishivyo BWANA, na iishivyo nafsi yako, kwa kuwa BWANA amekuzuia usimwage damu, tena usijilipize kisasi mkono wako mwenyewe, basi sasa adui zako, na hao wamtakiao bwana wangu mabaya, wawe kama Nabali.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 25

Mtazamo 1 Sam. 25:26 katika mazingira