1 Sam. 25:31 SUV

31 hili halitakuwa kwazo, wala chukizo la moyoni kwa bwana wangu, ama ya kuwa umemwaga damu bure, ama ya kuwa bwana wangu amejilipiza kisasi mwenyewe; tena hapo BWANA atakapokuwa amemtendea bwana wangu mema, ndipo umkumbuke mjakazi wako.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 25

Mtazamo 1 Sam. 25:31 katika mazingira