1 Sam. 5:10 SUV

10 Basi, wakalipeleka sanduku la Mungu mpaka Ekroni. Ikawa, sanduku la Mungu lilipofika Ekroni, watu wa Ekroni walifanya kelele, wakasema, Wamelileta hilo sanduku la Mungu wa Israeli kwetu, hata kutuua sisi na watu wetu.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 5

Mtazamo 1 Sam. 5:10 katika mazingira