1 Sam. 7:14 SUV

14 Nayo miji ile Wafilisti waliyokuwa wamewapokonya Waisraeli ilirudishwa tena kwa Israeli, tokea Ekroni mpaka Gathi; na Waisraeli wakauokoa mpaka wake mikononi mwa Wafilisti. Tena kulikuwa na amani kati ya Israeli na Waamori.

Kusoma sura kamili 1 Sam. 7

Mtazamo 1 Sam. 7:14 katika mazingira