8 Wana wa Amoni wakatoka, wakapanga vita mahali pa kuingilia lango; na Washami wa Soba, na wa Rehobu, na watu wa Tobu, na wa Maaka, walikuwa peke yao uwandani.
Kusoma sura kamili 2 Sam. 10
Mtazamo 2 Sam. 10:8 katika mazingira