10 Watu walipomwambia Daudi ya kwamba, Uria hakushuka nyumbani kwake, Daudi akamwambia Uria, Je! Hukutoka safarini? Mbona hukushuka nyumbani kwako?
Kusoma sura kamili 2 Sam. 11
Mtazamo 2 Sam. 11:10 katika mazingira