2 Sam. 12:3 SUV

3 bali yule maskini hakuwa na kitu, ila mwana kondoo mmoja, mdogo, ambaye amemnunua na kumlea; naye akakua pamoja naye, na pamoja na wanawe; hula sehemu ya posho lake, na kukinywea kikombe chake, na kulala kifuani mwake, akawa kwake kama binti.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 12

Mtazamo 2 Sam. 12:3 katika mazingira