2 Sam. 15:12 SUV

12 Absalomu naye akatuma kumwita Ahithofeli Mgiloni, mshauri wake Daudi, kutoka katika mji wake, yaani, Gilo, alipokuwa akitoa dhabihu. Fitina yao ikawa na nguvu; maana watu waliokuwa pamoja na Absalomu wakazidi kuwa wengi.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 15

Mtazamo 2 Sam. 15:12 katika mazingira