2 Sam. 15:16 SUV

16 Basi mfalme akatoka na watu wa nyumbani mwake wote wakafuatana naye. Mfalme akaacha wanawake kumi, masuria, ili kuitunza nyumba.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 15

Mtazamo 2 Sam. 15:16 katika mazingira