2 Sam. 15:24 SUV

24 Na tazama, Sadoki naye akaja, na Walawi wote pamoja naye, huku wakilichukua sanduku la agano la Mungu; kisha wakalitua hilo sanduku la Mungu; Abiathari naye akapanda juu, hata watu wote walipokwisha kuutoka mji.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 15

Mtazamo 2 Sam. 15:24 katika mazingira