18 Hushai akamwambia Absalomu, La, sivyo; lakini yule BWANA aliyemchagua, na watu hawa, na watu wote wa Israeli, mimi nitakuwa wake, na pamoja naye nitakaa.
Kusoma sura kamili 2 Sam. 16
Mtazamo 2 Sam. 16:18 katika mazingira