4 Ndipo mfalme akamwambia Siba, Tazama, yote yaliyokuwa ni mali ya Mefiboshethi ni yako. Siba akasema, Mimi nasujudu; na nione kibali machoni pako, Ee bwana wangu, mfalme.
Kusoma sura kamili 2 Sam. 16
Mtazamo 2 Sam. 16:4 katika mazingira