38 Mfalme akajibu, Haya, Kimhamu na avuke pamoja nami, nami nitamtendea yaliyo mema machoni pako wewe; na kila utakalotaka kwangu, mimi nitalifanya kwa ajili yako.
Kusoma sura kamili 2 Sam. 19
Mtazamo 2 Sam. 19:38 katika mazingira