2 Sam. 21:17 SUV

17 Lakini Abishai, mwana wa Seruya, akamsaidia, akampiga Mfilisti, akamwua. Ndipo watu wa Daudi wakamwapia, wakasema, Wewe hutatoka tena pamoja nasi kwenda vitani, usije ukaizima taa ya Israeli.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 21

Mtazamo 2 Sam. 21:17 katika mazingira