7 Katika shida yangu nalimwita BWANA,Naam, nikamlalamikia Mungu wangu;Naye akaisikia sauti yangu hekaluni mwake,Kilio changu kikaingia masikioni mwake.
Kusoma sura kamili 2 Sam. 22
Mtazamo 2 Sam. 22:7 katika mazingira