2 Sam. 3:23 SUV

23 Hata Yoabu, na jeshi lote waliokuwa pamoja naye, walipofika, watu wakamwambia Yoabu, wakisema, Abneri, mwana wa Neri, alikuja kwa mfalme, naye amemruhusu, naye amekwenda zake kwa amani.

Kusoma sura kamili 2 Sam. 3

Mtazamo 2 Sam. 3:23 katika mazingira