Dan. 10:17 SUV

17 Maana, mtumishi wa Bwana wangu huyu atawezaje kusema na Bwana wangu huyu? Kwa maana kwangu mimi, mara hazikusalia nguvu ndani yangu, wala pumzi haikusalia ndani yangu.

Kusoma sura kamili Dan. 10

Mtazamo Dan. 10:17 katika mazingira