Dan. 3:13 SUV

13 Basi Nebukadreza akatoa amri kwa hasira na ghadhabu, waletwe hao Shadraka, na Meshaki, na Abednego. Basi wakawaleta watu hao mbele ya mfalme.

Kusoma sura kamili Dan. 3

Mtazamo Dan. 3:13 katika mazingira