Dan. 6:20 SUV

20 Naye alipolikaribia lile tundu, akamlilia Danieli kwa sauti ya huzuni; mfalme akanena; akamwambia Danieli, Ee Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai, je! Mungu wako, unayemtumikia daima, aweza kukuponya na simba hawa?

Kusoma sura kamili Dan. 6

Mtazamo Dan. 6:20 katika mazingira