Dan. 6:23 SUV

23 Basi mfalme akafurahi sana, akaamuru wamtoe Danieli katika lile tundu. Ndipo Danieli akatolewa katika lile tundu, wala dhara lo lote halikuonekana mwilini mwake, kwa sababu alikuwa anamtumaini Mungu wake.

Kusoma sura kamili Dan. 6

Mtazamo Dan. 6:23 katika mazingira