Dan. 7:25 SUV

25 Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.

Kusoma sura kamili Dan. 7

Mtazamo Dan. 7:25 katika mazingira