Est. 3:2 SUV

2 Nao watumishi wote wa mfalme, walioketi mlangoni pa mfalme, wakainama na kumsujudia Hamani, maana ndivyo alivyoamuru mfalme kwa habari zake. Bali Mordekai hakuinama, wala kumsujudia.

Kusoma sura kamili Est. 3

Mtazamo Est. 3:2 katika mazingira