Hos. 11:9 SUV

9 Sitatumia ukali wa hasira yangu, sitarudi kumwangamiza Efraimu; kwa maana mimi ni Mungu, si mwanadamu mimi; mimi ndiye aliye Mtakatifu katikati yenu; wala sitaingia ndani ya mji.

Kusoma sura kamili Hos. 11

Mtazamo Hos. 11:9 katika mazingira