Mal. 1:7 SUV

7 Mnatoa chakula kilichotiwa unajisi juu ya madhabahu yangu Nanyi mwasema, Sisi tumekutia unajisi kwa jinsi gani? Kwa sababu mwasema, Meza ya BWANA ni kitu cha kudharauliwa.

Kusoma sura kamili Mal. 1

Mtazamo Mal. 1:7 katika mazingira