Mal. 4:1 SUV

1 Kwa maana, angalieni, siku ile inakuja, inawaka kama tanuru; na watu wote wenye kiburi, nao wote watendao uovu, watakuwa makapi; na siku ile inayokuja itawateketeza, asema BWANA wa majeshi; hata haitawaachia shina wala tawi.

Kusoma sura kamili Mal. 4

Mtazamo Mal. 4:1 katika mazingira