Mhu. 2:10 SUV

10 Wala sikuyanyima macho yangu cho chote yalichokitamani; wala sikuuzuia moyo wangu katika furaha yo yote; maana moyo wangu ulifurahi kwa sababu ya kazi yangu yote, na hii ilikuwa sehemu yangu katika kazi yangu yote.

Kusoma sura kamili Mhu. 2

Mtazamo Mhu. 2:10 katika mazingira