Mhu. 2:26 SUV

26 Kwa sababu Mungu humpa yeye aliyemridhia hekima na maarifa na furaha; bali mkosaji humpa taabu, ili kukusanya na kututa, apate kumpa huyo ambaye Mungu amridhia. Hayo nayo ni ubatili na kujilisha upepo.

Kusoma sura kamili Mhu. 2

Mtazamo Mhu. 2:26 katika mazingira