Mhu. 3:19 SUV

19 Kwa maana linalowatukia wanadamu linawatukia wanyama; jambo moja lawatukia; anavyokufa huyu ndivyo anavyokufa huyu; naam, wote wanayo pumzi moja; wala mwanadamu hana kitu cha kumpita mnyama; kwa maana yote ni ubatili.

Kusoma sura kamili Mhu. 3

Mtazamo Mhu. 3:19 katika mazingira