Mhu. 4:1 SUV

1 Kisha nikarudi na kuona madhalimu yote yanayotendeka chini ya jua; na tazama, machozi yao waliodhulumiwa, ambao walikuwa hawana mfariji; na upande wa wale waliowadhulumu kulikuwa na uwezo, walakini wale walikuwa hawana mfariji.

Kusoma sura kamili Mhu. 4

Mtazamo Mhu. 4:1 katika mazingira