Mhu. 5:18 SUV

18 Tazama, mimi niliyoyaona kuwa ndiyo mema na ya kufaa, ni mtu kula na kunywa, na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote anayoifanya chini ya jua, siku zote za maisha yake alizopewa na Mungu; maana hilo ndilo fungu lake.

Kusoma sura kamili Mhu. 5

Mtazamo Mhu. 5:18 katika mazingira