Mhu. 6:12 SUV

12 Kwa maana ni nani ajuaye yaliyo mema ya mwanadamu katika maisha yake, siku zote za maisha yake ya ubatili, anayoishi kama kivuli? Kwa maana ni nani awezaye kumweleza mwanadamu mambo yatakayofuata baada yake chini ya jua?

Kusoma sura kamili Mhu. 6

Mtazamo Mhu. 6:12 katika mazingira