Mhu. 6:3 SUV

3 Mtu akizaa watoto mia, akaishi miaka mingi, nazo siku za maisha yake ni nyingi, lakini nafsi yake haikushiba mema; tena ikiwa, zaidi ya hayo, amekosa maziko; mimi nasema, Heri mimba iliyoharibika kuliko huyo;

Kusoma sura kamili Mhu. 6

Mtazamo Mhu. 6:3 katika mazingira