15 Basi, kulionekana humo mtu maskini mwenye hekima, naye kwa hekima yake akauokoa mji ule lakini hata hivyo hapakuwa na mtu ye yote aliyemkumbuka yule mtu maskini.
Kusoma sura kamili Mhu. 9
Mtazamo Mhu. 9:15 katika mazingira