12 BWANA asema hivi, Ijapokuwa wana nguvu zilizo timilifu, ijapokuwa ni wengi, hata hivyo watakatwa, naye atapita na kwenda zake. Ingawa nimekutesa, sitakutesa tena.
Kusoma sura kamili Nah. 1
Mtazamo Nah. 1:12 katika mazingira