Nah. 3:10 SUV

10 Hata hivyo alichukuliwa mbali, alikwenda utumwani; watoto wake wachanga walisetwa kwenye maachano ya njia kuu zote; watu wake wenye heshima wakapigiwa kura, na wakuu wake wote wakafungwa kwa minyororo.

Kusoma sura kamili Nah. 3

Mtazamo Nah. 3:10 katika mazingira